Madakitari na Waunguzi wa Kitengo cha wazazi wapatiwa Mafunzo.

MOYO K 5

Madaktari na Wauguzi wa Wodi ya Wazazi ya Hospitali ya Mnazi mmoja wamepatiwa mafunzo ya kutumia kifaa kipya cha kitaalamu cha kusikiliza mapigo ya moyo ya mtoto tumboni kwa mama kinachoitwa MOYO FETAL HEART RATE MONITOR kifaa ambacho kitasaidia kujua mapigo ya moyo na hali ya mama wakati wanapokua na uchungu.

Muuguzi dhamana wa wodi ya wazazi Magret S. Taayari amesema kuwepo kwa kifaa hicho kitasaidi kuokoa muda kutokana na urahisi wa matumizi yake kulinganisha na kifaa cha zamani ambacho hutumia muda mwingi kuangalia mapigo ya moyo ya mtoto na mama.

Mafunzo hayo yametolewa na muuguzi wa Watoto Gunnelin Ueivog kutoka chuo Kikuu cha Haukland cha Nchini Norway ambapo yalifunguliwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Mnazi mmoja Dr. Msafiri Marijani.

MOYO K 19

 

 

Read 639 times Last modified on Friday, 25 February 2022 11:36
Rate this item
(0 votes)

Partners

Social media

f  I

Mnazi Mmoja Hospital map Location

Contact us

Mnazi Mmoja Hospital

Stone Town-Vuga Street

P.O.BOX 672

Tel: +255773833768 / +255627600600

Fax: +255 24 2231613

Email: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

Web: www.mmh.go.tz