Ufunguzi wa Majengo Mapya ya Wodi ya Kinamama na Watoto Katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar na Rais wa Zanzibar Dk Shein.
02 Aug 2020

Ufunguzi wa Majengo Mapya ya Wodi ya Kinamama na Watoto Katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar na Rais wa Zanzibar Dk Shein.

Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Muwakilishi wa Ubalozi wa Uholanzi Tanzania, Bi Theresia Mcha,alipowasili katika viwanja majengo hayo kwa ajili ya uzinduzi wake. 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, na Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya Chuo Ki+kuu cha Haukeland Norway Bwa. Eivind Hansen. wakikata utepe kuashiria kulizindua jengo la Wodi ya Watoto katika eneo la hospitali ya Mnazi Mmoja litakalotoa huduma kwa Watoto na Wazazi katika hospitali hiyo Zanzibar.

Jengo Jipya la Wodi ya Watoto katika hospitali ya Mnazi Mmoja lililofunguliwa na Rais wa Zanzibar Dk Shein.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akimsikiliza Muunguzi wa Wodi ya Wazazi akitoa maelezo ya moja ya mashine za kisasa katika jengo hilo zitakazotumika kutowa huduma kwa Wamama Wajawazito katika Wodi hiyo.

Read 1676 times Last modified on Monday, 21 February 2022 17:15

Partners

Social media

f  I

Mnazi Mmoja Hospital map Location

Contact us

Mnazi Mmoja Hospital

Stone Town-Vuga Street

P.O.BOX 672

Tel: +255773833768 / +255627600600

Fax: +255 24 2231613

Email: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

Web: www.mmh.go.tz